Pichani Mh. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (Mb) akiweka jiwe la msingi la mradi wa upanuzi wa mtandao wa Majisafi ya Ziwa Victoria kutoka Eneo la Makomero - Mgongoro, Kijiji cha Mwamayoka, Igunga mkoani Tabora, hivi karibuni.
Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Hamidu Aweso (Mb), akiwa na Watendaji mbali mbali wa Wizara ya Maji katika utekelezaji wa Majukumu ya Wizara ya Maji hivi karibu.