Mradi wa Maji wa Igowole

Mradi wa Maji wa Igowole image

Mradi wa Maji wa Igowole uliopo Mkoa wa Iringa. Kwenye Picha ni Chanzo Cha Maji Cha Kivele, ambao unahudumia Vijiji Vitatu. Mradi huu unanufaisha takribani Wananchi 17,000. Mradi huu umefadhiliwa kwa Fedha Za Mfuko wa Taifa wa Maji (NWF).